burudan

Victori Kimani asema alijiunga na Chocolate City ili kuiteka Afrika zaidi.


Mwimbaji kutoka Kenya anayefanya kazi zake za muziki Nigeria Victori Kimani amesema lengo la kujiunga na lebel ya Nigeria ya Chocolate City ni kuteka mashabiki zaidi Afrika.
Victoria anasema “Wakati najiunga na Chocolate City walikuwa na ofisi zao Kenya na lengo lao lilikuwa kutangaza wasanii Afrika nzima na sio nchi moja tu, ndio maana nilipenda kufanya nao kazi na wameweza kufikisha muziki wangu kwa mashabiki wengi kwenye bara la Afrika”.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates