burudan

taaluma bora katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha


hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC>


hili ni jengo la utawala katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC>
sehemu ya vyumba vya madarasa chuoni hapo
mkufunzi wa chuo hicho Bw: Thomas Ishengoma akifundisha moja kati ya madarasa chuoni hapo

wanafunzi wakisikiliza kwa makini darasani
baadhi ya wanafunzi chuoni hapo wakijifunza kompyuta

wanafunzi hushirikiana vyema kimsomo pindi wawapo darasani kwa kuelekezana yale wasiyoyafahamu

wakufunzi hua na muda wa ziada kuhahakisha wanafunzi wanaelewa zaidi pindi wanapoitaji

wanafunzi hupata muda wa mapumziko na kujadiliana maswala kadha wa kadha
wanafunzi hupata muda wa kufanya mazoezi kwa vitendo ili kujiimarisha zaidi kitaaluma

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates