burudan

Wanawake wanyanyuaji uzito wajitosa ulingoni

Antoinette Kriel
Wanawake wa Afrika Kusini wanaoinua uzito wameonyesha ukakamavu wao katika mchezo unaoaminika kuwa wa wanaume.

Uinuaji wa uzito umechukuliwa tangu jadi kuwa swala la wanaume, lakini hivi majuzi wanawake wengi wamejiunga na mchezo huo.

Wiki hii mashindano ya kimataifa ya Bench Press yatakuwa yanaandaliwa katika mji wa Potchefsroom nchini Afrika Kusini huku kila jinsia ikiwakilishwa.

Miongoni mwa wanawake ambao watashiriki ni Antoinette Kriel.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates