
Rapa aliyepata kiki kubwa akiwa
na Rihanna mpaka kupelekea mauzo makubwa ya album yake ‘Travis Scott’
amerudi tena kwenye muziki baada ya kuachana na Rihanna.
Travis anasema nyimbo mpya zinakuja soon,“BEEN GOING BACK AND FORTH WITH LABEL ON DOING THIS RIGHT. I LOVE @epicrecords LETS GET IT,” “THIS WEEK ON MY MAMA AND SISTER LA FLAME FANS WE EAT IN A BIG WAY.”
Geen opmerkingen:
Een reactie posten