burudan

Wasanii wa Floyd Mayweather wameanza kupewa darasa la muziki kutoka kwa Future na Bieber.


Rapa wawili ambao wako chini ya lebel ya Floyd Mayweather ‘TMT’ wameanza kupewa darasa la muziki kutoka kwa wakali kama Future, Bieber.
Floyd alianzisha lebel ya muziki wa rapa mwaka jana na kumsajili rapa Lil Jamez na Jay Bling na ameshaonekana nao kwenye jukwa la Hard Rock Live mjini Vegas.
“Floyd ni mtu wa muziki, anatuingiza studio na kutupeleka na ndege kutoka mji moja mpaka mwingine,” Jay Bling alisema
Floyd anampango wa kufanya kazi na wasanii kama Future, Game, The Weeknd, Flo Rida, Justin Bieber, DJ Khaled, Lil Wayne, Rick Ross.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates