burudan


Matukio ya Afrika

Ujerumani kutoa msaada kwa sekta ya afya Tanzania

Waziri wa ushirikiano kimaendeleo Ujerumani ameahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania kuzalisha wataalamu wa afya hasa katika kitengo cha ukunga na uuguzi ili kukabiliana na upungufu wa wataalamu hao.
 
Sikiliza sauti 02:43

Ripoti ya George Njogopa kutoka Dar es Salaam

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates