burudan

Wiz Kid na French Montana wakutana kufanya colabo yao studio.


Baada ya kuhusishwa kikazi na wasanii wakubwa kama Drake, Tinie Temphah, Swizz beatz na Ty Dollar Sign sasa msanii wa Nigeria Wiz Kid amezama studio na rapa mkalu kutoka Marekani anayefahamika kama French Montana.
Mpaka sasa haijulikani ngoma ni ya nani ila imethibitishwa kuwa wamefanya wimbo pamoja.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates