burudan

NANI NI NANI NDANI YA AJTC



Mashindano ya utangazaji katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha AJTC yanaendelea,huku madarasa mbali mbali yakifanya vizuri katika vipindi vya HABARI, MICHEZO,BURUDANI NA MAKALA.

Mashindano hayo ya 2016 ambayo ni ya 9  yanawapa wakati mgumu  majaji jinsi yakufahamu nani ni nani kwani madarasa yote yameonekana kufanya vizuri zaidi.

DJ, MULLY NDANI YA STUDIO ZA AJTC 96.6

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates