Siku ya tatu ya Mashindano ya Utangazaji Katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha
Na leo ni Madarasa ya Mzumbe,Kilimanjaro,Ruwenzori na Ngorongoro, Majaji ndio Waamuzi kesho katika Mchujo wa kubakisha Madarasa matano (5) kati ya 13 Yaliyoshiriki tangu Mashindano Yalipoanza Jumatatu ya wiki hii
Na leo ni Madarasa ya Mzumbe,Kilimanjaro,Ruwenzori na Ngorongoro, Majaji ndio Waamuzi kesho katika Mchujo wa kubakisha Madarasa matano (5) kati ya 13 Yaliyoshiriki tangu Mashindano Yalipoanza Jumatatu ya wiki hii
Geen opmerkingen:
Een reactie posten