Muhudumu wa chakula maarufu Mjini New Yori Stacy Adler ’50’
amefunguka juu ya kitendo alichofanyiwa wakati wa shughuli ya Kanye West
na kusema nikitendo ambacho hata sahau.
Kwenye kitabu kipya cha Ina Yalof ‘Food and the City’ muhudu
huyu anayefanya kazi na mastaa wengi kama Beyonce, Jay Z, Jennifer
Lopez, George Clooney, Madonna amesema aliambiwa asimtazame Kanye West
na kwamba wakati anapita wahudumu wote waangalie pembeni.
Stacy anasema”Watu wote maarufu wako
powa sana ila wapambe wao ndio wanasumbua, niliambiwa na watu wa Kanye
kuwa akipita hakuna mtu wa kumtazama, lazima uweke shingo pembeni na
usimuone wakati anapita kitu ambacho kilinikera sana“.
Abonneren op:
Reacties posten (Atom)
ALIKIBA NCHINI UJERUMAN
Follow us on facebook
Popular Posts
-
Leo tutaongelea kuhusu furaha na afya katika michezo mbalimbali ndani ya jamii. Kuna aina za michezo nyingi sana katika jamii hivyo basi ...
-
Miongozo mipya iliyotolewa nchini Marekani inapendekeza wanawake wajawazito kufanya mazoezi mepesi karibu siku zote za ujauzito. Tofauti...
-
MUONEKANO WA HALISI WA BAO NA KETE ZAKE Habari ndugu msomaji wa makala hii ya Ielewe Michezo leo tutakuwa tukiangazia juu ya m...
-
Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimbo la "putter" Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimb...
-
1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia. 2. Ni sayari am...
-
Lionel Messi Lionel Andrés Messi (amezaliwa Rosario, Argentina , 24 Juni 1987 ) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka ...
-
Nchi inaweza kuwa maskini zaidi duniani kama wana Pato duni la Asili , Kuna rasilimali kidogo, ukosefu wa ajira na maendeleo ...
-
Even John Cena was hypnotized by his GF Nikki Bella’s cleavage during an event in NYC. The WWE Diva — with a huge hand from her l...
-
Waziri wa michezo Fikile Mbalula Afrika Kusini haitaandaa mashindano ya Raga, Kriketi, Riadha na Netiboli baada ya se...
-
Poda ya Johnson, iliyodhaniwa kuwa ni kipodozi na tiba mujarabu kwa watoto na watu wazima duniani kote imebainika kusababisha saratani. ...



Geen opmerkingen:
Een reactie posten