Muhudumu wa chakula maarufu Mjini New Yori Stacy Adler ’50’
amefunguka juu ya kitendo alichofanyiwa wakati wa shughuli ya Kanye West
na kusema nikitendo ambacho hata sahau.
Kwenye kitabu kipya cha Ina Yalof ‘Food and the City’ muhudu
huyu anayefanya kazi na mastaa wengi kama Beyonce, Jay Z, Jennifer
Lopez, George Clooney, Madonna amesema aliambiwa asimtazame Kanye West
na kwamba wakati anapita wahudumu wote waangalie pembeni.
Stacy anasema”Watu wote maarufu wako
powa sana ila wapambe wao ndio wanasumbua, niliambiwa na watu wa Kanye
kuwa akipita hakuna mtu wa kumtazama, lazima uweke shingo pembeni na
usimuone wakati anapita kitu ambacho kilinikera sana“.
Abonneren op:
Reacties posten (Atom)
ALIKIBA NCHINI UJERUMAN
Follow us on facebook
Popular Posts
-
Leo tutaongelea kuhusu furaha na afya katika michezo mbalimbali ndani ya jamii. Kuna aina za michezo nyingi sana katika jamii hivyo basi ...
-
Miongozo mipya iliyotolewa nchini Marekani inapendekeza wanawake wajawazito kufanya mazoezi mepesi karibu siku zote za ujauzito. Tofauti...
-
MUONEKANO WA HALISI WA BAO NA KETE ZAKE Habari ndugu msomaji wa makala hii ya Ielewe Michezo leo tutakuwa tukiangazia juu ya m...
-
Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimbo la "putter" Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimb...
-
1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia. 2. Ni sayari am...
-
Lionel Messi Lionel Andrés Messi (amezaliwa Rosario, Argentina , 24 Juni 1987 ) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka ...
-
Waziri wa michezo Fikile Mbalula Afrika Kusini haitaandaa mashindano ya Raga, Kriketi, Riadha na Netiboli baada ya se...
-
A man who str!pped n@ked and entered a lion enclosure in a Chilean zoo has survived the incident, but the lions were killed. S...
-
hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> hili ni jengo la utawala katika chuo cha uan...



Geen opmerkingen:
Een reactie posten