Mtu wa karibu na familia ya The Carter ameliambia jarida la US Weekly
kuwa rapa Jay Z anarekodi nyimbo zitakazoeleza upande wake wa
kilichotokea kwenye ndoa yake na rnb staa Beyonce.
Queen Bey aliwashangaza mashabiki kwa video maalum iliyorushwa na
HBO pamoja na album ya Lemonade. Video hii ilielezea tetesi za muda
mrefu za usaliti wa mume wake kwa mashairi kama ya ” This is your final warning / You know I give you life / If you try this s‑‑t again / You gon’ lose your wife”.
Uvumi wa miaka miwili nyuma ulisema Jay Z na B walikuwa mbioni
kuachana kabisa baada ya tukio la ugomvi kwenye lifti. May 2014, TMZ
walivujisha video inayomuonesha mdogo wake Beyoncé, Solange Knowles,
akimshambulia Jay Z wakiwa kwenye lifti baada ya kuhudhuria hafla ya Met
Gala.
Home
Jay Z kufanya album atakayofunguka kuhusu tetesi za usaliti kama jibu kwa Beyonce na album yake yaLemonade
Jay Z kufanya album atakayofunguka kuhusu tetesi za usaliti kama jibu kwa Beyonce na album yake yaLemonade
Abonneren op:
Reacties posten (Atom)
ALIKIBA NCHINI UJERUMAN
Follow us on facebook
Popular Posts
-
Leo tutaongelea kuhusu furaha na afya katika michezo mbalimbali ndani ya jamii. Kuna aina za michezo nyingi sana katika jamii hivyo basi ...
-
Miongozo mipya iliyotolewa nchini Marekani inapendekeza wanawake wajawazito kufanya mazoezi mepesi karibu siku zote za ujauzito. Tofauti...
-
Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimbo la "putter" Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimb...
-
MUONEKANO WA HALISI WA BAO NA KETE ZAKE Habari ndugu msomaji wa makala hii ya Ielewe Michezo leo tutakuwa tukiangazia juu ya m...
-
Lionel Messi Lionel Andrés Messi (amezaliwa Rosario, Argentina , 24 Juni 1987 ) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka ...
-
hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> hili ni jengo la utawala katika chuo cha uan...
-
Syria imetangaza usitishaji wa mapigano wa muda mfupi karibu na Damascus na katika jimbo moja lakini haikutaja juu ya mapigano katika me...
-
Nchi inaweza kuwa maskini zaidi duniani kama wana Pato duni la Asili , Kuna rasilimali kidogo, ukosefu wa ajira na maendeleo ...
-
1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia. 2. Ni sayari am...
-
Huu ni mji wa Monaco ukitaka kununua luxury property gharama yake ni $ 1 million kwa 16 square meters Monaco hiyo. Yani ukubwa wa uwanja...
Geen opmerkingen:
Een reactie posten