burudan

Future kuwekwa kiti moto na wanasheria wa Ciara.

Wanasheria wa Ciara wanategemea kumuweka kiti moto rapa Future kuhusu kesi yake na Ciara. Future amekubali kukalishwa chini huku mahojiano yakirekodiwa na ataulizwa ukweli juu ya kuchafua jina la Ciara na kumtukana mtandaoni. Future amekubali kuapa kusema ukweli na sio chochote bali ukweli kabla ya mahojiano hayo.
Future alimtukana Ciara kwa kumuita “bitch with control problems.”
Ciara kwa sasa ni mchumba wa mchezaji wa Seattle Seahawks  Russell Wilson, na hivi karibuni alitaka dola milioni $15 kutoka kwa Future kwa kosa la kumchafulia jina.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates