![]() |
Ndege zilifanya mashambulizi kwenye barabara inayoelekea maeneo yanayodhibitiwa na waasi katika mji wa Allepo. |
Wanaharakati nchini Syria wanasema
kuwa ndege za kivita zimefanya mashambulizi makubwa zaidi kwenye
barabara inayoelekea maeneo yanayodhibitiwa na waasi katika mji wa
Allepo.
Serikali ya Syria imekuwa ikishambulia maeneo yanayodhibitiwa na waasi mjini Allepo siku za hivi karibuni na kuvunja makubaliano yaliyoafikiwa mwishoni mwa mwezi Februari.
Geen opmerkingen:
Een reactie posten