burudan

Mariah Carey apandisha sumu,alivyoulizwa msanii gani ataimba kwenye harusi yake.


Hii itakuwa kauli itakayokumbukwa zaidi kwenye maisha ya muziki ya msanii Mariah Carey baada ya kuulizwa kama kuna msanii anatarajiwa kuimba kwenye harusi ya pop Diva Huyu.
Mariah Carey alijibu kwa hasira na mshangao huku akisema “Hakuna msanii mwenye vigezo vya kuimba kwenye harusi yangu”
Na haya ndio maneno ya Mariah ‘F**king Nobody’ Is Good Enough to Perform at my Wedding”
enhanced-24784-1463435410-7

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates