burudan

Maporomoko ya ardhi yawaua zaidi ya watu 70 Sri Lanka


Mafuriko nchini Sri Lanka.
Utawala nchini Sri Lanka unasema kuwa zaidi ya watu 70 sasa wanafahamika kuaga dunia kwenye maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa.
Zaidi ya watu wengine 120 bado hawajulikani waliko.

Katika maeneo mengine ya mji mkuu Colombo, maji yalipungua kwa kiasi leo Jumamosi lakini kwenye sehemu zingine maelfu ya watu waliolazimika kuhama kutokna na mafuriko na maporomoko ya Udongo bado wanaishi kwenye makao ya muda.

Misaada ya dharura yakiwemo mahema na mashua sasa vinawazili kutoka nchini India

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates