Jay Z analikamua limao lake mwenyewe pia.
Mtu wa karibu na familia hiyo, ameliambia jarida la US Weekly kuwa
rapper huyo, 46, anarekodi nyimbo zitakazoeleza upande wake wa
kilichotokea kwenye ndoa yake na Beyonce.
April 23, Queen Bey, 34, aliwashangaza mashabiki kwa video maalum
iliyorushwa na HBO pamoja na album ya Lemonade, inayoelezea tetesi za
muda mrefu za kusalitiwa na mume wake kwa mashairi kama: This is your
final warning / You know I give you life / If you try this s‑‑t again /
You gon’ lose your wife.”
Watu wanadai kuwa wawili hao walikuwa mbioni kuachana kabisa mwaka 2014
baada ya tukio maarufu kwenye lifti. May 2014, TMZ walivujisha video
inayomuonesha mdogo wake Beyoncé, Solange Knowles, akimshambulia Jay Z
wakiwa kwenye lifti baada ya kuhudhuria hafla ya Met Gala.
Vyanzo vinadai kuwa wanandoa hao waliweza kumaliza tofauti zao na sasa wako imara tena.
Abonneren op:
Reacties posten (Atom)
ALIKIBA NCHINI UJERUMAN
Follow us on facebook
Popular Posts
-
Leo tutaongelea kuhusu furaha na afya katika michezo mbalimbali ndani ya jamii. Kuna aina za michezo nyingi sana katika jamii hivyo basi ...
-
Miongozo mipya iliyotolewa nchini Marekani inapendekeza wanawake wajawazito kufanya mazoezi mepesi karibu siku zote za ujauzito. Tofauti...
-
MUONEKANO WA HALISI WA BAO NA KETE ZAKE Habari ndugu msomaji wa makala hii ya Ielewe Michezo leo tutakuwa tukiangazia juu ya m...
-
Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimbo la "putter" Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimb...
-
1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia. 2. Ni sayari am...
-
Lionel Messi Lionel Andrés Messi (amezaliwa Rosario, Argentina , 24 Juni 1987 ) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka ...
-
Waziri wa michezo Fikile Mbalula Afrika Kusini haitaandaa mashindano ya Raga, Kriketi, Riadha na Netiboli baada ya se...
-
A man who str!pped n@ked and entered a lion enclosure in a Chilean zoo has survived the incident, but the lions were killed. S...
-
hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> hili ni jengo la utawala katika chuo cha uan...



Geen opmerkingen:
Een reactie posten