Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA)
limeshutumiwa mtandaoni kwa kusimulia moja kwa moja matukio
yaliyopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.
Siku ya leo ni miaka mitano tangu kuuawa kwa Osama Mei 2011 katika nyumba moja mjini Abbottabad, Pakistan.
Alikuwa amesakwa na Marekani na washirika wake kwa mwongo mmoja.
CIA wamekuwa wakitoa maelezo kuhusu mipango na ukusanyaji wa habari za kijasusi ambazo zilipelekea Osama kuuawa.
Geen opmerkingen:
Een reactie posten