Licha
ya kuonyesha uwezo mzuri kwa kutoa asisti nyingi na kufunga mabao
katika Premier League msimu huu, kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil hayumo
katoka orodha ya wachezaji wanaounda kikosi bora cha msimu katika ligi
hiyo maarufu kwa jina la PFA Team of the Year.
Kikosi
hicho ambacho kimetajwa na Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA)
hakijataja jina la Ozil kama wengi alivyokuwa wakimtegemea huku
chipukizi wengine wakitajwa kuwa ndiyo wanaounda kikosi hicho.
Baadhi ya chipukizi waliotajwa katika safu ya kiungo ya kikosi hico ni Dimitri Payet, N'Golo Kante, Dele Alli na Riyad Mahrez.
Mpaka
sasa kabla ya mechi ya leo usiku, Ozil ametoa asisti 18 na kufunga
mabao 6 na amekuwa katika kikosi cha kwanza kwa muda wote msimu huu.
Abonneren op:
Reacties posten (Atom)
ALIKIBA NCHINI UJERUMAN
Follow us on facebook
Popular Posts
-
Leo tutaongelea kuhusu furaha na afya katika michezo mbalimbali ndani ya jamii. Kuna aina za michezo nyingi sana katika jamii hivyo basi ...
-
Miongozo mipya iliyotolewa nchini Marekani inapendekeza wanawake wajawazito kufanya mazoezi mepesi karibu siku zote za ujauzito. Tofauti...
-
Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimbo la "putter" Mchezaji akicheza mpira karibu na shimoni kwa fimb...
-
MUONEKANO WA HALISI WA BAO NA KETE ZAKE Habari ndugu msomaji wa makala hii ya Ielewe Michezo leo tutakuwa tukiangazia juu ya m...
-
Lionel Messi Lionel Andrés Messi (amezaliwa Rosario, Argentina , 24 Juni 1987 ) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka ...
-
hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> hili ni jengo la utawala katika chuo cha uan...
-
Syria imetangaza usitishaji wa mapigano wa muda mfupi karibu na Damascus na katika jimbo moja lakini haikutaja juu ya mapigano katika me...
-
Nchi inaweza kuwa maskini zaidi duniani kama wana Pato duni la Asili , Kuna rasilimali kidogo, ukosefu wa ajira na maendeleo ...
-
1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia. 2. Ni sayari am...
-
Syria kusitisha mapigano baadhi ya maeneo Syria imetangaza usitishaji wa mapigano wa muda mfupi karibu na Damascus na katika jimbo moja ...
Geen opmerkingen:
Een reactie posten