burudan

Al Jazeera yabanwa na serikali Iraq



IraqImage copyrightAFP
Image captionIraq imesema Al Jazeera imekiuka kanuni za uanahabari
Serikali ya Iraq imeliamuru shirika la utangazaji la Al Jazeera kufunga afisi zake mjini Baghdad.
Wanahabari wa shirika hilo pia wamepigwa marufuku kukusanya habari nchini humo.
Maafisa wa serikali wanasema shirika hilo la utangazaji limekuwa likikiuka kanuni za uanahabari, ambazo miongoni mwa mengine zinazuia mashirika ya habari kuangazia makundi ya waasi.
Shirika la Al Jazeera limesema limeshangazwa sana na hatua hiyo na limekanusha kuvunja kanuni zozote za kitaaluma.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates