burudan

Vanessa Mdee Aelezea Changamoto Kubwa zaidi Waliyonayo Wasanii wa Kike



Baadhi ya waigizaji wa kike wa filamu nchini Marekani waliwahi kulalamika utofauti wa malipo kati yao na wanaume.

Kinachowaumiza zaidi ni kuwa wanaume hulipwa malipo makubwa zaidi kuliko wao hata katika uhusika unaofanana. Kwa mujibu wa Vanessa Mdee, hilo ni tatizo kubwa pia lililopo kwenye muziki wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

“Kubwa zaidi ni masuala ya bookings msanii wa kike kupewa kile anachostahili, mwanaume atalipwa zaidi siku zote japo msichana ana hit song anaweza kuvuta wale wale atakaovuta akinakaka,” Vanessa aliiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM.

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates