burudan

PICHA:Mapenzi ya AKA NA Bonang Matheba sio siri tena,


Baada ya rapa Aka kuweka wazi kuwa yeyena DJ Zinhle watabaki kuwa wazazi tu kwa mtoto wao wa kwanza, kwa sasa staa huyu anajiachia na Bonang Matheba na ameliweka jambo hili wazi kabisa.
AKA ameonekana na Bonang Matheba kwenye sehemu tofauti za starehe wakila bata na hivi karibuni walikuwa pamoja airport na ni Love In The Air tu.
Fahamukuwa Bonang Matheba alikuwa mpenzi wa Dbanj. Hii ni convo yao huko twitter.
aka img_8119

Geen opmerkingen:

Een reactie posten

KBSBLOG Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Thema-afbeeldingen van Bim. Mogelijk gemaakt door Blogger.
Published By Gooyaabi Templates